iqna

IQNA

baraza la usalama
Kadhia ya Palestina
IQNA-Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hatimaye limepitisha azimio kuhusu jinai za Israel dhidi ya Gaza, likidai kuongezwa kwa misaada katika eneo lililozingirwa lakini lakini limeshindwa kuulazimisha utawala haramu wa Israel usitishe vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika eneo hilo.
Habari ID: 3478078    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/23

Jinai za Israel
NEW YORK (IQNA)- Marekani, ambayo ni mwanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, imetumia kura yake ya turufu kupinga azimio lililopendekezwa na UAE la kuanzisha usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478009    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/09

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Uzembe wa Umoja wa Mataifa na hasa mkwamo katika Baraza la Usalama la umoja huo ambao una jukumu muhimu la kulinda amani na usalama wa kimataifa, kuhusu vita vya Gaza, jinai za kivita na mauaji ya kimbari ya Wapalestina yanayofanywa na utawala wa Kizayuni, umekosolewa vikali kimataifa.
Habari ID: 3477904    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/17

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, Baraza Kuu na nchi zote duniani, kutekeleza wajibu wao wa kimataifa wa kisheria, kiutu na kimaadili ili kuwatetea watu wasio na ulinzi wa Palestina na katika mkabala wa uvamizi na hujuma za utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3476645    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/02

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)-Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wamesisitiza juu ya ulazima wa kudumisha hali ya miongo kadhaa iliyopita katika eneo la Msikiti wa al-Aqsa katika Mji Mkongwe wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel baada ya utawala huo ghasibu kulivunjia heshima eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3476366    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Afisa mmoja wa Umoja wa Mataifa amesisitiza uharamu wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni wa Israel katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina na kubainisha kuwa hatua hiyo ni kikwazo kikubwa cha amani.
Habari ID: 3475685    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/26

TEHRAN (IQNA)- Wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wamepitisha kwa kauli moja azimio la kurahisisha shughuli za upelekaji misaada nchini Afghanistan.
Habari ID: 3474712    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/23

TEHRAN (IQNA)- Leo tarehe 29 Novemba inaadhimishwa kote duniani kama Siku ya Kimataifa ya Kuonesha Mshikamano na Taifa la Palestina
Habari ID: 3474616    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/29

Rais wa Iran katika mazungumzo ya simu na Rais wa Ufaransa
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na mwenzake wa ufaransa akisema kuwa Marekani daima imekuwa ikifanya jitihada za kuua mapatano ya nyuklia ya JCPOA na kusisitiza kuwa: Ulaya haipasi kukubali kuburutwa na Marekani na kutumbukia katika mtego wake.
Habari ID: 3473063    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/13